• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MIAKA 60 YA UHURU: SINGIDA YAJIVUNIA USALAMA WA CHAKULA

Wednesday 9th, July 2025
@MANYONI

      Hali ya Uzalishaji wa mazao makuu ya chakula katika mkoa wa Singida umeongezeka kutoka tani 197,886 mwaka 1990 hadi kufikia tani 821,882 mwaka 2020/2021.

     Hayo yameelezwa leo na Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge wakati akiwahutubia wananchi katika kilele cha maadhimisho ya kimkoa ya miaka 60 ya uhuru yalifanyika katika uwanja wa Jumbe wilayani Manyoni mkoani Singida.

   Dr. Mahenge alisema kipindi cha miaka 60 ya uhuru Mkoa wa Singida umeweza kujitosheleza kwa chakula sambamba na ongezeko la uzalishaji wa mazao ya biashara yakiwemo  Alizeti, ufuta, dengu, korosho na vitunguu kutokana na mabadiliko katika matumizi ya teknolojia ya zana za kilimo na hasa ubora wa pembejeo za kilimo.

    “uzalishaji wa mazao ya chakula ya kipaumbele kama mtama, uwele, viazi vitamu na muhogo, uliongezeka kutoka Tani 194,878 mwaka 2005/2006 hadi kufikia Tani 395,594 mwaka 2020/2021” Amesema Dkt. Mahenge.

      Aidha amebainisha kwamba uzalishaji wa mazao ya biashara ya kipaumbele ambayo ni alizeti, pamba, vitunguu, na korosho uliongezeka kutoka Tani 41,746 mwaka 2005/2006 hadi Tani 230,793 mwaka 2020/2021.  Zao la alizeti pekee uzalishaji umeongezeka kutoka Tani 28,917 mwaka 2005/2006 hadi Tani 222,8000 mwaka 2020/2021, aliendelea kufafanua RC Mahenge.

   Akizungumzia ongezeko la viwanda katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru RC Mahenge amebainisha kwamba Mwaka 1961 hapakuwa na viwanda vya usindikaji wa alizeti lakini hadi kufikia  mwaka 2021 kuna jumla ya viwanda 204 vinavyofanya kazi.

    “Mwaka 1961 viwanda vidogo vilikuwa ni vichache na vilikuwa vya fani ya useremala, uhunzi na utengenezaji chumvi, na sasa vipo jumla ya viwanda vidogo 1,309 vinavyofanya shughuli mbalimbali hadi kufikia mwaka 2020/2021” alieleza RC Mahenge.Maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru.pdf

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • VIKUNDI 55 VYAPATIWA MAFUNZO KABLA YA KUPOKEA MIKOPO YA 10%

    June 29, 2025
  • SINGIDA MANISPAA YAANZA KUTOA ELIMU YA UCHAGUZI MKUU KUELEKEA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

    June 28, 2025
  • USAFI WA NGUVU KUELEKEA MWENGE WA UHURU

    June 28, 2025
  • UJENZI WA SHULE YA AMALI MKOA WA SINGIDA WAFIKIA ASILIMIA 80

    June 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.