• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Idara ya Mazingira

IDARA YA MAZINGIRA NA UDHIBITI WA TAKA NGUMU

Ni miongoni mwa idara 13 zinazounda Halmashauri ya Manispaa ya Singida

SEHEMU ZA IDARA

Idara ina sehemu kuu 2

  • SEHEMU YA MAZINGIRA
  • SEHEMU YA UDHIBITI WA TAKA NGUMU

MAJUKUMU YA IDARA 

Idara ya mazingira na udhibiti wa taka ngumu ina majukumu yafuatayo:

  • SEHEMU YA MAZINGIRA
  • Kusimamia na kutekeleza sera ya taifa ya mazingira,sheria ya usimamizi wa mazingira kuhusu masuala ya hifadhi ya bioanuai yaliyobainishwa katika  sera,sheria,kanuni, miongozo,mikakati,mipango na program mbalimbali.
  • Kushauri kamati ya mazingira ya Halmashauri Manispaa katika shughuli zote zinahusu mazingira.
  • Kufuatilia na kutathmini athari za uchafuzi wa mazingira katika makazi, viwanda, migodi, ujenzi, biashara, kilimo na ufugaji.
  • Kufuatilia utekelezaji wa utaratibu wa tathmini ya athari za mazingira kwa shughuli zinazotakiwa kufanyiwa tathmini ya mazingira kama zilivyobainishwa katika sheria ya usimamizi wa mazingira na kanuni zake.
  • Utunzaji /Uhifadhi wa mazingira na bioanuai
  • Kusimamia utunzaji wa vyanzo vya maji kwa kudhibiti utekelezaji wa shughuli yoyote inayoweza kuleta athari katika maeneo ya mito, maziwa, bahari na mabwawa.
  • Kuhamasisha jamii kupanda miti na upendezeshaji wa mazingira na mandhari ya mji.
  • 2.) SEHEMU YA UDHIBITI WA TAKA NGUMU
  • Usafishaji na udhibiti wa taka ngumu kutoka kwenye majengo,maeneo ya wazi,barabara na mifereji ya maji ya mvua.
  • Kufanya tafiti/uchunguzi ili kubaini aina ya taka zinazozalishwa kutoka katika masoko,makazi,maeneo ya biashara na taasisi na kubuni njia  bora za kupunguza,kutenganisha,kuhifadhi na kutupa taka.
  • Kuweka mifumo na miundombinu isiyoathiri afya na mazingira ya usimamizi wa taka kuanzia zinapozalishwa hadi zinapotupwa kwa kuzingatia utenganishaji,ukusanyaji, uhifadhi,urejelezaji na utekelezaji katika matanuru maalum na utupaji katika madampo.
  • Kuzisimamia na kuhakikisha  kamati za  mazingira kuanzia ngazi ya kata na mitaa zinatekeleza majukumu yake kwa ufanisi.

MIKAKATI YA IDARA

Katika kuboresha hali ya usafi, utunzaji na uhifadhi wa mazingira idara ina mikakati ifuatayo :

  • SEHEMU YA MAZINGIRA
  • Kusimamia tathmini ya athari ya mazingira katika miradi mbalimbali ya uwekezaji  iliyopo Manispaa.
  • kuboresha mandhari ya mji wa singida kwa kuendeleza bustani na kuhamasisha zoezi la upandaji miti kwa wananchi na kuboresha hali ya mazingira ya maeneo ya kupumzikia.
  • kuendelea kuboresha ukaguzi wa mazingira katika maeneo ya biashara, taasisi, viwanda, majengo na vyanzo vya maji .
  • Kuweka vibao vya kuzuia matumizi ya maeneo yasiyoruhusiwa na maeneo ya hifadhi.
  •  Kuendelea kushirikisha wadau mbalimbali vikiwemo vyombo vya ulinzi na usalama katika usimamizi wa sheria.
  • Kushirikiana na wadau mbalimbali katika kufanya tafiti mbalimbali zinazohusu usimamizi na utunzaji wa Mazingira
  • Kuhakikisha kamati za kuhifadhi mazingira kuanzia ngazi ya kata na mitaa zinatekeleza majukumu yake kwa ufanisi.
  • Kuendelea kuhamasisha jamii mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.
  • Kuendelea Kusimamia utunzaji wa vyanzo vya maji kwa kudhibiti utekelezaji wa shughuli yoyote inayoweza kuleta athari katika maeneo ya mito, maziwa, bahari na mabwawa.
  • Kuhakikisha kampeni ya upandaji miti inatekelezwa kwa kupanda miti 1,500,000 kila mwaka.
  • Kusimamia uanzishwaji wa vikundi vya mazingira mashuleni ikiwa ni pamoja na kutoa uelewa kuhusu masuala ya hifadhi ya mazingira kwa jamii.
  • 2.)  SEHEMU YA UDHIBITI WA TAKA NGUMU
  • Kuendelea kuhimiza Kamati za Maendeleo ya Kata kushiriki ipasavyo kusimamia zoezi la usafi kila Jumamosi ya kwanza ya mwezi.
  • Kuelimisha jamii kwa kutumia vyombo vya habari, mikutano, vipeperushi na vipaza sauti.
  • Kuundwa kwa kikosi kazi cha kusimamia shughuli za usafi na biashara ndogondogo kinachojumuisha wataalam toka Idara mbalimbali na wameanza kuchukua hatua za kisheria.
  • Kuongeza idadi ya ghuba za taka kutoka 9 za sasa kufikia 12 kwa mwaka 2017/2018
  • Kuhakikisha udhibiti wa taka ngumu unaboreka kutoka asilimia 50% kufikia asilimia 75 kwa mwaka 2017/2018.

]

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • MATOKEO YA VITENDO KWA DEREVA October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE YA AMALI MKOA WA SINGIDA

    May 21, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU PILI

    May 20, 2025
  • MIAKA MINNE YA MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN ASANTE KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA WAFANYAKAZI

    May 20, 2025
  • "UPATIKANAJI WA HAKI KUONGEZA IMANI KWA WANANCHI"

    May 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.