• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI SINGIDA MANISPAA LAPITISHA BAJETI

Posted on: February 10th, 2026


Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida limepitisha bajeti ya mwaka wa fedha  2026/27, huku Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo, Geofrey Mdama, akitoa wito kwa watendaji kuhakikisha ukusanyaji wa mapato unavuka malengo kwa zaidi ya asilimia 100 katika mwaka wa fedha 2025/26.

Akizungumza mara baada ya kupitishwa kwa bajeti hiyo, Mdama alisema ukusanyaji mzuri wa mapato ya ndani ni nguzo muhimu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kuanzia ngazi ya chini hadi ngazi ya juu, akisisitiza kuwa mafanikio ya miradi hiyo yanategemea nidhamu na uwajibikaji wa watendaji.

Meya amesema hayo, leo Februari 10, 2026, katika Ukumbi wa Ofisi za Manispaa ya Singida, wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani kilichopitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2026/27, ambapo Halmashauri inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya Sh bilioni 46.5.

Meya Mdama amesema endapo ukusanyaji wa mapato utaendelea vizuri na kufikia viwango vya juu, fedha hizo zitasaidia kwa kiasi kikubwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayolenga kuboresha huduma kwa wananchi.

“Kwa kawaida Halmashauri yetu imekuwa ikifikia asilimia 100 ya ukusanyaji wa mapato, na huko nyuma tumefanikiwa kufanya hivyo. Safari hii tunapaswa kuhakikisha tunafanikisha lengo hilo tena kwa kushikamana na kila mmoja kuwajibika katika eneo lake. Tuna asilimia 60 ya mapato kwa ajili ya miradi ya maendeleo, hivyo nataka kuona juhudi zinazofanyika kama ambavyo huwa inafanyika katika utoaji wa mikopo ya asilimia 10 zinafanana na utekelezaji wa miradi tuliyowaahidi wananchi,” alisema Mdama.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • BARAZA LA MADIWANI SINGIDA MANISPAA LAPITISHA BAJETI

    February 10, 2026
  • "TUWAJIBIKE KATIKA MAPATO, TUSHIRIKIANE KWA PAMOJA KWA AJILI YA HALMSHAURI"

    February 09, 2026
  • KAMATI YA MAENDELEO WILAYA YAKAGUA NA KUTEMBELEA WANAFUNZI WAKE

    February 08, 2026
  • DAS AWAASA WATUMISHI BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 06, 2026
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.