• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BASHUNGWA AAGIZA MAKATIBU WAKUU WA WIZARA TATU KUANDAA TARATIBU ZA UENDESHAI KITENGO CHA MAAFISA HABARI

Posted on: May 14th, 2022

Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa, Innocent Bashungwa ameagiza makatibu wakuu wa wizara tatu za Habari, mawasiliano na teknolojia ya habari, Utumishi na TAMISEMI kuhakikisha wanakaa pamoja na kuweka utaratibu wa Ikama kwa maafisa Habari na suala zima la upatikanaji wa vitendea kazi kwa maafisa habari na Uhusiano wa serikali.


Waziri Bashungwa ameagiza hayo Leo tarehe 14.05.2022 wakati akifunga kikao kazi Cha Maafisa habari kilichofanyika jijini Tanga kwa kipindi Cha wiki moja.


Waziri Bashungwa amesema maafisa habari ni jeshi linalotegemewa na serikali katika kuhabarisha umma juu ya shughuli mbalimbali zinazotekeleza na serikali lakini pia kuihabarisha serikali hitaji ama changamoto za wananchi.


Aidha amewataka maafisa habari kutumia vyema mbinu walizofunzwa katika kikao kazi hiki kuhakikisha wanaleta matokeo chanya katika taasisi zao na Serikali kwa ujumla.


"Tunamshukuru Rais Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha kitengo hiki muhimu kwa maeneeleo ya nchi yetu" alisema Bashungwa.


Pamoja na hayo waziri Bashungwa amewasisitiza Maafisa habari kuendelea kuelimisha wananchi kuhusiana na usajili wa wa anwani za makazi ili kuhakikisha maeneo yote yanaingizwa kwenye mfumo wa anwani za makazi.


Amesema zoezi la anwani za makazi likiwa linaendelea kukamilishwa, maafisa habari wajipange vyema katika kuelimisha wananchi juu ya zoezi la sensa ya watu na makazi zoezi litakalofanyika hapo 23 Agosti, 2022.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali wakati akifunga Kikao cha 17 cha Maafisa hao Jijini Tanga leo tarehe 13 Mei 2022


Naye Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima ambaye ni mwenyeji wa kikao kazi hiki amewaasa Maafisa habari kufanya kazi kwa weledi ili wananchi wawe na ufahamu mpana wa jitihada zinazofanywa na Serikali za kuleta maendeleo kwa wananchi wake.


Mkuu wa mkoa huyo kwa niaba ya wakuu wa mikoa wote amemwomba waziri Bashungwa kuhakikisha maafisa habari wanawezeshwa vitendea kazi ili kazi yao iwe na tija.


"Mhe. Waziri maafisa hawa ambao ni jeshi tegemewa hawana vitendea kazi pia platform, naomba ofisi yako iwawezeshe" alisema Malima.


Maafisa habari zaidi ya 350 wameshiri Kikao kazi ambapo mada mbalimbali zilitolewa ili kuwajengea uwezo wa kutekele

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima akizungumzia umuhimu wa maafisa  wakati wa ufungaji wa wa Kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali kinachofanyakia Jijini Tanga leo tarehe 13 Mei 2022

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • MATOKEO YA VITENDO KWA DEREVA October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE YA AMALI MKOA WA SINGIDA

    May 21, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU PILI

    May 20, 2025
  • MIAKA MINNE YA MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN ASANTE KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA WAFANYAKAZI

    May 20, 2025
  • "UPATIKANAJI WA HAKI KUONGEZA IMANI KWA WANANCHI"

    May 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.