• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA UGANI WATAKIWA KULETA MAPINDUZI YA KILIMO KATIKA MSIMU UJAO WA KILIMO 2022/2023

Posted on: June 13th, 2022

Maafisa Ugani mkoa wa Singida wametakiwa kuleta mapinduzi ya kilimo katika msimu ujao wa kilimo ili kukidhi mahitaji hususani ya chakula sambamba na ya viwanda.

Agizo hilo limetolewa leo (13/06/2022) na Mkuu wa Mkoa wa Singida,Dk.Binilith Mahenge wakati hafla ya kukabidhi pikipiki 166 kwa maafisa ugani na maafisa ushirika wa mkoa wa singida.

Alisema huko nyuma maafisa ugani walikabiliwa na changamoto sugu ya ukosefu wa usafiri hivyo kushindwa kuwafikia wakulima kwa wakati na kuwataka kutumika nyenzo hiyo kuwafikia wakulima, wafugaji na wana ushirika kwa muda muafaka na kutatua changamoto zinazohitaji utaalamu zinazowakabili.

Dr. Mahenge  amesema haitarajiwi wala haitavumiliwa kwa afisa yeyote wa ugani kutumia pikipiki aliyokabidhiwa tofauti na lengo kwa kuibadilisha matumizi na kuwa boda boda na atakayebainika,atachukuliwa hatua stahiki.

“Sasa tatizo la usafiri,limebaki kuwa historia.Pikipiki hizi zitumike kwa kufanyia kazi za Serikali za kuwafikia wakulima,wafugaji na wanaushirika.Hawa hakikisheni mnawapatia elimu ya kilimo bora,ufugaji wa kisasa na ushirika wenye tija.Tatueni chanagamoto zinazohitaji utaalamu wa ugani”,amesisitiza.

Aidha Mkuu wa Mkoa wa Singida amezitaka Halmashauri zote katika mkoa huo zihakikishe maafisa ugani wote wanapatiwa mafunzo ya udereva wa pikipiki ili kuepusha ajali zitokanazo na kukosa elimu ya udereva na kwamba mafunzo hayo yafanyike kabla ya mwezi huu kuisha. Amewataka waafisa hao wahakikishe wanazitumia pikipiki hizo kwa uagalifu mkubwa, ili ziweze kudumu kwa muda mrefu.

“Wakurugenzi wa halmashauri ninasisitiza kufuatilia matumizi sahihi ya pikipiki na kuchukua hatua stahiki mapema kwa maafisa watakaotumia pikipiki kinyume na maelekezo haya”, amesema.

Pia amewataka maafisa ugani kuandaa mpango kazi wa kila siku, anapotumia pikipiki ifahamike wazi amekwenda wapi,amehudumia wateja wangapi ambao ni wakulima, wafugaji, AMCOS na SACCOS.

“Pikipiki zilete madadiliko chanya katika kilimo,mifugo na ushirika” na akatoa rai kwa  Maafisa ugani kuwafikia na kuwapatia mafunzo wateja wengi zaidi na kwamba tija ya mafunzo hayo ionekane katika kuongezeka kwa matumizi ya kanuni bora na uzalishaji wa mazao ya kilimo na mifugo hasa zao la alizeti ambalo ni zao la kimkakati kimkoa lipewe kipaumbele.

Halmashauri ya Manispaa ya Singida imepokea jumla ya pikipiki 14 zitakazo hudumia kata zote 18 za Manispaa ya Singida.

Matangazo

  • MAPOKEZI YA FEDHA MRADI WA BOOST NA FEDHA KUTOKA SERIKALI KUU May 04, 2023
  • MAPITIO YA BAJETI 2022/2023 February 21, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA MANISPAA YA SINGIDA KWA SHULE 2021 November 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU MITIHANI (2022) KWA KIWANGO CHA JUU NA KUCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE MAALUM ZA VIPAJI. February 21, 2023
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MANISPAA YA SINGIDA YANG’ARISHA WATUMISHI

    May 23, 2023
  • VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KUPITIA UFUGAJI WA NYUKI

    May 21, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA NYUKI DUNIANI YATUMIKE KUJIFUNZA NA KUBADILISHANA UZOEFU

    May 19, 2023
  • WAFANYABIASHARA WATAKIWA KULIPA KODI NA ADA KUPITIA MIFUMO YA ULIPAJI YA KIELETRONIKI.

    May 16, 2023
  • Tazama Zote

Video

Waziri Jafo atoa maagizo mazito kwa ma-RAS, ma-DED, Wakuu wa idara na maasifa mawasiliano serikalini
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.