• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MHE GONDWE AUNGANA NA RASI SAMIA KATIKA 27 YA KIJANI SINGIDA

Posted on: January 27th, 2026


Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhe. Godwin Gondwe, ameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika maadhimisho ya Siku ya 27 ya Kijani kwa kushiriki zoezi la upandaji miti pamoja na wananchi wa wilaya hiyo, ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais Samia.

Katika kuonesha mshikamano huo, Mhe. Gondwe ameongoza zoezi la upandaji wa miti 600 lililofanyika katika Chuo cha Utumishi wa Umma, Kampasi ya Singida, leo Januari 27, 2026, zoezi lililolenga kuhamasisha utunzaji wa mazingira na kuimarisha uoto wa asili katika eneo hilo.

Zoezi hilo limehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bi. Joanfaith Kataraia, pamoja na wadau wa mazingira, watumishi wa umma na wananchi, waliojitokeza kwa wingi kushiriki shughuli hiyo muhimu ya kimazingira.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Gondwe amesema Siku ya 27 ya Kijani imekuwa chachu ya kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu katika utunzaji wa mazingira, akisisitiza kuwa upandaji miti ni nguzo muhimu katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

Ameongeza kuwa Rais Samia ameendelea kuwa kinara wa uhifadhi wa mazingira kupitia kampeni ya 27 ya Kijani, inayotekelezwa kila mwezi nchi nzima kwa lengo la kuongeza uoto wa asili, kulinda rasilimali za mazingira na kuhakikisha kizazi cha sasa na kijacho kinaishi katika mazingira salama na endelevu.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MHE GONDWE AUNGANA NA RASI SAMIA KATIKA 27 YA KIJANI SINGIDA

    January 27, 2026
  • BIMA YA AFYA KWA WOTE SHILINGI 150,000 KWA KAYA, WASIO NA UWEZO KUGHARAMIWA NA SERIKALI

    January 23, 2026
  • MIRADI YA BOOST HATUA ZA MWISHO ZA UKAMILISHAJI

    January 22, 2026
  • MANISPAA YA SINGIDA YAJIPANGA KUHAKIKISHA MJI UNAKUWA SAFI

    January 20, 2026
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.