• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATUMISHI WATAKIWA KUTENDEA HAKI TAALUMA ZAO KWA UWAJIBIKAJI

Posted on: June 9th, 2022

Watumishi wa Serikali wametakiwa kutendea haki vyeti vyao vya taaluma kwa kuwajibika ipasavyo katika utumishi wao kwani nafasi walizonazo ni dhamana waliyopewa na Serikali.

Hayo yameelezwa na Mhe. Moses Ikaku, Diwani wa Kata ya Kisaki wakati akifungua kikao kazi cha watumishi wa Serikali katika kata ya Kisaki.  Kikao hiki ni mwendelezo wa vikao kazi vilivyoandaliwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida katika kuboresha utendaji kazi wa Watumishi wake.

Mhe. Ikaku alisema, mtumishi kuwa na cheti cha stashahada ama shahada hakitamsaidia kitu bila kuweka bidii zake mwenyewe katika kazi kwa kuwa mbunifu na kuongeza kuwa elimu mliyopata iwasaidie kuonesha tofauti kati ya watumishi na jamii ambayo haikubahatika kufikia elimu waliyonayowatumishi na kwamba  kwa elimu waliyopata wanaweza kubaini fursa zaidi za kuiletea maendeleo Jamii inayowategemea.

“lengo la mifano yangu ni kuwawezesha kujitambua na kujitofautisha na wanajamii ambao hawana elimu kama yenu kwani nyie mmeongezewa jicho la tatu la kuona fursa za maendeleo” alisema Ikaku.

Amewaasa watumishi na hasa walimu kujitafakari kwa kuangalia hadhi za vyeti vyao na utendaji kazi (status) endapo vinalingana na matokeo ya ufundishaji katika ufaulu wa wananfunzi (performance).

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Ndg. Kulanga Matia Kanyanga alisema ni wajibu wa watumishi kumsaidi Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan kuleta maendeleo na kutoa huduma bora kwa wananchi.

Amesema Mhe. Rais amewajali sana watumishi kwa kuboresha mishahara na kulipa madeni ya mapunjo ya mishahara hivyo ni wajibu wao sasa kuamka na kujituma kufanyakazi kwa bidi ili kuwa na matokeo chanya.

 Aidha amewataka watumishi katika ngazi ya kata kushirikiana katika kutekeleza majukumbu yao na kumpongeza Kaimu Mtendaji wa Kata ya Kisaki Ndg. John 

Matangazo

  • MAPOKEZI YA FEDHA MRADI WA BOOST NA FEDHA KUTOKA SERIKALI KUU May 04, 2023
  • MAPITIO YA BAJETI 2022/2023 February 21, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA MANISPAA YA SINGIDA KWA SHULE 2021 November 15, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOFAULU MITIHANI (2022) KWA KIWANGO CHA JUU NA KUCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE MAALUM ZA VIPAJI. February 21, 2023
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MANISPAA YA SINGIDA YANG’ARISHA WATUMISHI

    May 23, 2023
  • VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KUPITIA UFUGAJI WA NYUKI

    May 21, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA NYUKI DUNIANI YATUMIKE KUJIFUNZA NA KUBADILISHANA UZOEFU

    May 19, 2023
  • WAFANYABIASHARA WATAKIWA KULIPA KODI NA ADA KUPITIA MIFUMO YA ULIPAJI YA KIELETRONIKI.

    May 16, 2023
  • Tazama Zote

Video

Waziri Jafo atoa maagizo mazito kwa ma-RAS, ma-DED, Wakuu wa idara na maasifa mawasiliano serikalini
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.