• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BIMA YA AFYA KWA WOTE SHILINGI 150,000 KWA KAYA, WASIO NA UWEZO KUGHARAMIWA NA SERIKALI

Posted on: January 23rd, 2026






Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa Bima ya Afya kwa wote awamu ya kwanza kwa kundi la wananchi wasio na uwezo (wazee, watoto, wajawazito na walemavu) ambao watagharamiwa na Serikali pamoja na kutangaza kitita cha huduma muhimu kitakachotolewa na skimu za Bima ya Afya kwa gharama ya Shilingi 150,000 kwa Kaya ya watu wasiozidi 6.

Hayo yamesemwa Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Januari 23, 2026 Jijini Dodoma kwenye kikao cha kujadili utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote na Viongozi na Watendaji ngazi ya Mikoa, Wilaya pamoja na Serikali za Mitaa.

Wazir Mchengerwa ametangaza kuanza rasmi kwa Bima ya Afya kwa wote Januari 26, 2026 na kuwataka watendaji kuhakikisha wananchi wanapata elimu kabla ya kujiunga na huduma bora za afya kuendelea kutolewa kwa wananchi wakiwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kote nchini.

Waziri Mchengerwa amesema kuwa kwa gharama ya Shilingi 150,000 watu 6 walio kwenye kaya moja watajiunga na Bima ya Afya kwa wote kwa itakayojumuisha mwanachama mchangiaji, mwenza wa mwanachama na wategemezi wanne (4).

“Wategemezi hao wanne wanaweza kuwa ni mzazi wa mwanachama au mzazi wa mwenza wa mwanachama; mtoto wa mwanachama wa kuzaa, kuasili au wa kambo aliye na umri chini ya miaka ishirini na moja au ndugu wa damu wa mwanachama aliye na umri wa chini ya miaka ishirini na moja” amefafanua Waziri Mchengerwa.

Amesema kuwa kitita cha Huduma Muhimu kitatolewa kwa kuzingatia utaratibu wa rufaa katika vituo vya kutolea huduma za Afya vitakavyoingia Mkataba na skimu za Bima ya Afya.

Waziri Mchengerwa amesema ili kufikia azma ya uhakika wa matibabu kwa wananchi wote kupitia Bima ya Afya Viongozi na Watendaji hawana budi kuhakikisha kuwa elimu sahihi inawafikia wananchi waweze kujua umuhimu wa kuwa na Bima ya Afya.





Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa Bima ya Afya kwa wote awamu ya kwanza kwa kundi la wananchi wasio na uwezo (wazee, watoto, wajawazito na walemavu) ambao watagharamiwa na Serikali pamoja na kutangaza kitita cha huduma muhimu kitakachotolewa na skimu za Bima ya Afya kwa gharama ya Shilingi 150,000 kwa Kaya ya watu wasiozidi 6.

Hayo yamesemwa Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Januari 23, 2026 Jijini Dodoma kwenye kikao cha kujadili utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote na Viongozi na Watendaji ngazi ya Mikoa, Wilaya pamoja na Serikali za Mitaa.

Wazir Mchengerwa ametangaza kuanza rasmi kwa Bima ya Afya kwa wote Januari 26, 2026 na kuwataka watendaji kuhakikisha wananchi wanapata elimu kabla ya kujiunga na huduma bora za afya kuendelea kutolewa kwa wananchi wakiwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya kote nchini.

Waziri Mchengerwa amesema kuwa kwa gharama ya Shilingi 150,000 watu 6 walio kwenye kaya moja watajiunga na Bima ya Afya kwa wote kwa itakayojumuisha mwanachama mchangiaji, mwenza wa mwanachama na wategemezi wanne (4).

“Wategemezi hao wanne wanaweza kuwa ni mzazi wa mwanachama au mzazi wa mwenza wa mwanachama; mtoto wa mwanachama wa kuzaa, kuasili au wa kambo aliye na umri chini ya miaka ishirini na moja au ndugu wa damu wa mwanachama aliye na umri wa chini ya miaka ishirini na moja” amefafanua Waziri Mchengerwa.

Amesema kuwa kitita cha Huduma Muhimu kitatolewa kwa kuzingatia utaratibu wa rufaa katika vituo vya kutolea huduma za Afya vitakavyoingia Mkataba na skimu za Bima ya Afya.

Waziri Mchengerwa amesema ili kufikia azma ya uhakika wa matibabu kwa wananchi wote kupitia Bima ya Afya Viongozi na Watendaji hawana budi kuhakikisha kuwa elimu sahihi inawafikia wananchi waweze kujua umuhimu wa kuwa na Bima ya Afya.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • BIMA YA AFYA KWA WOTE SHILINGI 150,000 KWA KAYA, WASIO NA UWEZO KUGHARAMIWA NA SERIKALI

    January 23, 2026
  • MIRADI YA BOOST HATUA ZA MWISHO ZA UKAMILISHAJI

    January 22, 2026
  • MANISPAA YA SINGIDA YAJIPANGA KUHAKIKISHA MJI UNAKUWA SAFI

    January 20, 2026
  • KATIBU NEC, CCM AUPONGEZA MKOA WA SINGIDA KWA USIMAMIZI BORA WA UJENZI WA SOKO LA VITUNGUU

    January 19, 2026
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.