• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA YA SINGIDA YANG’AA MASHINDANO YA WANASAYANSI CHIPUKIZI

Posted on: May 9th, 2025



Manispaa ya Singida imetoa tuzo kwa wanafunzi wanne walioshiriki mashindano ya kitaaluma ya wanasayansi chipukizi (Young Scientists) mwaka 2024, ambao wameiwezesha Manispaa ya Singida kushika nafasi ya pili kitaifa kutokana na maandiko (projects) ambayo waliwasilisha.


Tuzo hizo na vyeti vimetolewa leo, Mei, 9 2025 katika Mkutano wa pili wa Baraza la Madiwani la robo ya tatu lililofanyika katika Ukumbi wa chuo cha Ufundi - VETA ambapo wanafunzi hao walitoa wasilisho la andiko lao kwa ufupi lililohusu ‘Tanzania and the World Economy’ mbele ya wajumbe wa baraza, wataalam, kamati ya usalama wilaya na wageni waalikwa katika mkutano huo.


Akikabidhi tuzo hizo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Singida, Mhe. Yagi Maulid Kiaratu amesema wanafunzi hao, Winfrida Vicent Haliyake ( Mitunduruni), Ally Abdallah Almas( Mitunduruni), Maureen Adrian Macha (Dr. Salmin Amour) na Humphrey Lwimiko Mwambene ( Dr. Salmin Amour) wameiheshimisha Manispaa ya Singida na kutoa agizo la kuhakikisha shule zote za sekondari zinashiriki mashindano hayo.


“Watoto hao wametuheshimisha sana… afisa elimu hakikisha shule zote za sekondari zinashiriki tuweze kuibua vipaji vilivyojificha, hongereni sana “, amesisitiza Mhe. Kiaratu


Aidha Mhe. Kiaratu amewapongeza walimu waliowaandaa wanafunzi hao ambao ni Mwl. Emmanuel Makala (Mitunduruni ) na Mwl. Juma Thomas ( Dr. Salmin Amour) na kuwataka kujituma zaidi ili kuibua wanafunzi wengi wenye vipaji tofauti.


Jumla ya maandiko ya ubunifu 1042 yaliwasilishwa na shule mbalimbali nchini, 281 yalivuka hatua za awali ambapo mkoa wa Singida ulikuwa na jumla ya bunifu 10 zilizofanikiwa kuingia hatua ya pili ya mashindano.


Aidha katika hatua ya tatu jumla ya bunifu 44 zilipita, Mkoa wa Singida ukiwa na bunifu tatu bora kutoka shule ya za sekondari za Mitunduruni, Dr. Salmin Amour ( zote za Manispaa ya Singida) na Lulumba ya Iramba.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • MATOKEO YA VITENDO KWA DEREVA October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE YA AMALI MKOA WA SINGIDA

    May 21, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU PILI

    May 20, 2025
  • MIAKA MINNE YA MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN ASANTE KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA WAFANYAKAZI

    May 20, 2025
  • "UPATIKANAJI WA HAKI KUONGEZA IMANI KWA WANANCHI"

    May 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.