• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ASILIMIA 77 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA WAJIUNGA NA SHULE KATIKA MANISPAA YA SINGIDA

Posted on: January 27th, 2023

JUMLA ya wanafunzi 3,397 wamefanikiwa kuripoti katika shule mbalimbali za Sekondari katika Manispaa ya Singida hadi kufikia  27 Januari mwaka huu, sawa na asilimia 77 kati ya 4,558 waliotarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Kaimu afisa elimu wa Sekondari Manispaa hiyo Aminieli Mfinanga, wakati akitoa taarifa ya hali ya uripoti wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 katika shule mbalimbali walizopangwa katika Manispaa ya Singida. 

Hata hivyo Mfinanga alisema kuwa, hadi kufikia sasa, wanafunzi 1,048 bado hawajaripoti kwenye shule walizopangiwa, na idara ya elimu Sekondari inafanya jitihada mbalimbali ili kuhakikisha wote waliofaulu, wanajiunga na kidato cha kwanza 2023.

Aidha alisema kuwa jumla wanafunzi 113, waliofaulu na kupangiwa shule mbalimbali za kata, wamejiunga na shule binafsi, kwa ajili ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza.

Alisema kuwa, katika kuhakikisha wanafunzi waliofaulu lakini bado hawajajiunga na masomo ya sekondari, Manispaa imeweka mikakati mbalimbali ikiwa ni  jitihada kuhakikisha wanaendelea na masomo.

Alifafanua kuwa, baadhi ya mikakati hiyo ni, watendaji wote wa kata na waratibu elimu Kata, wanawafikia wazazi na walezi wa watoto waliofaulu, ili kuwaelekeza umuhimu / ulazima  wa kuwapeleka watoto shule  na pale inapobidi kuwachukulia hatua kali za kisheria.

 

Kaimu Afisaelimu huyo wa Sekondari aliitaja njia nyingine kuwa ni wakuu wa shule kuhakikisha wanendelea kuwasiliana na wazazi na walezi ambao watoto wao hawajaripoti, ili waweze kuwapeleka watoto wao shuleni kwa ajili ya kuanza masomo ya kidato cha kwanza.

Mfinanga alitoa wito kwa watoto wasiokuwa na sare, kuhakikisha wanahudhuria shuleni na wazazi wapewe fursa ya kutafuta mahitaji kwa watoto wao, wakati wanafunzi wakiendelea na masomo.


BOFYA HAPA KUONA MWENENDO WA URIPOTI KIDATO CHA KWANZA 2023

Matangazo

  • MAPITIO YA BAJETI 2022/2023 February 21, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA MANISPAA YA SINGIDA KWA SHULE 2021 November 15, 2021
  • KARIBU UWEKEZE KATIKA MANISPAA YA SINGIDA November 15, 2022
  • TATHMINI YA MATOKEO YA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2022 KI- SHULE December 23, 2022
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • KAYA 5,396 MANISPAA YA SINGIDA ZIMENUFAIKA NA MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF) DIRISHA LA SEPTEMBA - OKTOBA, 2023

    March 22, 2023
  • BOT YATOA ELIMU YA FEDHA BANDIA KWA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KIMATAIFA LA VITUNGUU, MISUNA MANISPAA YA SINGIDA

    March 20, 2023
  • TUME YA UTUMISHI YA WALIMU SINGIDA YAWATAKA WALIMU KUZINGATIA SHERIA,KANUNI NA MIONGOZO INAYOTOLEWA NA SERIKALI

    March 20, 2023
  • MIAKA MIWILI YA DHAHABU YA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN YALETA MAPINDUZI YA MAENDELEO SINGIDA

    March 18, 2023
  • Tazama Zote

Video

Waziri Jafo atoa maagizo mazito kwa ma-RAS, ma-DED, Wakuu wa idara na maasifa mawasiliano serikalini
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.