• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DONDOO YA YALIYOJIRI WAKATI WA MKUTANO WA HADHARA WA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, ULIOFANYIKA KATIKA UWANJA WA BOMBADIA, SINGIDA

Posted on: November 21st, 2025



▪️Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anawasalimia Wana Singida na anawapongeza kwa kazi kubwa ya ujenzi wa Taifa.


▪️Mradi wa SGR ni wa kimkakati una manufaa kwa Taifa letu, ni uti wa mgongo wa Taifa letu, hapa Singida tutanufaika na mradi huu.


▪️Katika Siku 100 Rais Dkt. Samia ameweka vipaumbele ikiwemo kuanza kwa utaratibu matumizi ya Bima ya Afya kwa wote, anataka jambo hili lianze haraka.


▪️Sisi wasaidizi tutafuatilia kwa karibu ahadi zote za Rais Dkt. Samia, tutafuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi pamoja na kufuatilia miradi yote ya maendeleo ili kuwanufaisha Watanzania,


▪️Watumishi wa Umma wanaowasumbua Watanzania hawatakuwa na nafasi, haiwezekani mwananchi anaenda kwenye ofisi ya umma anatarajia apate ufumbuzi na huduma ila anafika pale anazungushwa, huu siyo uelekeo wa Rais Dkt. Samia anaotaka.


▪️Rais Dkt. Samia ametoa vitendea kazi anataka kuona Watanzania wanahudumiwa kwa ufanisi, Mwananchi akifika ofisini msikilize, weka kumbukumbu kisha fanyia kazi na likikuzidi lifikishe kunakostahili.


▪️Mkitaka wananchi wasibebe mabango wafikieni, wasilikizeni na muwatatulie kero zao, nimeitisha taarifa kila mkoa nikipita huko nikikuta kuna mambo yasiyofaa nitachukua hatua, hatuwezi kuwa nchi ya uchumi wa kati na watu hawatekelezi majukumu yao kikamilifu


▪️Tanzania ni mali ya Watanzania, si mali ya viongozi wala si mali ya vyama vya siasa, tuilinde nchi yetu, tusidanganywe kufanya vitendo visivyofaa, Mungu ametupa nchi nzuri sana.


▪️Tanzania hii imebarikiwa sana, tunayo madini adimu, gesi na rasilimali nyingine nyingi, tunajua haya ndiyo yanayowaumiza, Watanzania hatuna sababu ya kutofautiana, tukatae utaratibu ambao unaivunjia heshima nchi yetu, twendeni tukatatue kasoro hizi sisi wenyewe tuache nchi yetu ikiwa salama.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • CHANJO YA MBWA YAZINDULIWA MANISPAA YA SINGIDA

    November 24, 2025
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANANCHI WA MANISPAA YA SINGIDA KUTOCHOCHEA VURUGU

    November 21, 2025
  • DONDOO YA YALIYOJIRI WAKATI WA MKUTANO WA HADHARA WA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, ULIOFANYIKA KATIKA UWANJA WA BOMBADIA, SINGIDA

    November 21, 2025
  • ELIMU YA LISHE YATOLEWA MANISPAA YA SINGIDA

    November 21, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.