• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KISHINDO CHA MAFANIKIO YA MIAKA 3 YA SERIKALI YA AWAMU YA 6 MKOANI SINGIDA

Posted on: April 7th, 2024


Mkoani wa Singida leo umejivunia mafanikio lukuki ya miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Halima Dendego, ameeleza mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya awamu hiyo kwa kubainisha kukua kwa pato la mkoa na la mwananchi mmoja mmoja.


Dendego ameyasema hayo Aprili 7, 2024 wakati wa hafla fupi ya kueleza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika Mkoa wa Singida hafla iliyoambatana na futari kwa baadhi ya viongozi wa Dini, Chama, Wabunge wa Mkoa huo, wadau wa maendeleo pamoja na baadhi ya wananchi waliohudhuria.


Akizungumza na viongozi, wadau wa maendeleo na wananchi katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Makazi ya Mkuu wa Mkoa huo mjini Singida, amesema wastani wa pato la Mkoa limeongezeka kutoka Sh.Trilioni 2.709 mwaka 2020/2021 hadi kufikia Sh.Trilioni 3.196.


Dendego amesema kwa upande wa wastani wa pato la mwananchi mmoja mmoja kwa Mkoa wa Singida umefikia Sh. 1,589,073 mwaka 2022/23.


Aidha, amesema wastani wa ukusanyaji mapato kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ni Sh. bilioni 12.382 kwa mwaka na wastani wa ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa Halmashauri ni Sh.bilioni 16.285.


Dendego amesema katika kipindi hicho Mkoa umepokea Sh. Trilion 1.7 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya uendeshaji shughuli mbalimbali ikiwemo utekelezaji wa miradi ya maendeleo.


Hata hivyo, ameeleza kuwa katika kuwainua wananchi kiuchumi, jumla ya Sh. 3,068,836,418 zimetolewa kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye uelemavu na Sh. 2,258,086,426.61 zimetengwa kwa ajili ya kuvikopesha vikundi hivyo mara Serikali itapotoa mwongozo mpya.


Akiendelea na wasilisho lake, Mkuu wa Mkoa huyo amesema Serikali kupitia Mpango wa Kuhudumia Kaya Maskini (TASAF) imerudisha matumaini na furaha kwa takribani kaya 58,090.


Amesema walengwa wameguswa kwa kupatiwa fedha za moja kwa moja kiasi cha Sh. Bilioni 22.083 kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • RAIS KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MAWAZIRI KATIKA KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA LA MAWAZIRI AWAMU YA SITA

    July 14, 2025
  • DAS WILAYA YA SINGIDA AKIPOKEA CHETI CHA PONGEZI

    July 14, 2025
  • MKURUGENZI MANISPAA YA SINGIDA AKIPOKEA CHETI CHA PONGEZI

    July 14, 2025
  • WAKULIMA WA BUSTANI MSITU WAASWA KUTUMIA ELIMU WALIYOIPATA

    July 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.