• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA YA SINGIDA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA KWA SIKU TANO

Posted on: October 6th, 2025





Halmashauri ya Manispaa ya Singida leo Oktoba 6, 2025 imepokea madaktari bingwa mbalimbali kupitia mpango wa Madaktari Bingwa wa Mama Samia, ambao wataanza kutoa huduma kwa muda wa siku tano katika Hospitali ya Manispaa hiyo.

Madaktari hao bingwa ni pamoja na bingwa wa magonjwa ya wanawake na ukunga, bingwa wa watoto na watoto wachanga, bingwa wa upasuaji, bingwa wa usingizi na ganzi, bingwa wa magonjwa ya ndani, bingwa wa kinywa na meno pamoja na muuguzi mbobezi.

Akizungumza wakati wa mapokezi yao, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Singida alisema ujio wa madaktari hao ni ukombozi mkubwa kwa wananchi wa manispaa hiyo ambao kwa muda mrefu walikuwa wakilazimika kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma hizo.

“Huduma hizi ni fursa adhimu kwa wananchi wa Singida. Tunawaomba wananchi wajitokeze kwa wingi kupata matibabu, hasa wale waliokuwa wakikumbwa na changamoto ya ukosefu wa huduma za kibingwa,” alisema.

Mpango huu wa Madaktari Bingwa wa Mama Samia umeendelea kuwafikia wananchi katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa huduma za afya za kibingwa, hasa katika maeneo ya pembezoni na yenye upungufu wa watalaam.

Huduma hizo zinatarajiwa kutolewa kuanzia leo hadi Oktoba 10, 2025, katika Hospitali ya Manispaa ya Singida. Wananchi wametakiwa kufika hospitalini mapema ili kupata huduma kulingana na mahitaji yao ya kiafya.
















Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MANISPAA YA SINGIDA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA KWA SIKU TANO

    October 06, 2025
  • WATUMISHI MANISPAA YA SINGIDA WANAFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA BORA

    October 11, 2025
  • WATUMISHI MANISPAA YA SINGIDA WANAFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA BORA

    October 11, 2025
  • SERIKALI IMETOA SHILINGI TRILIONI 3.5 KUWAWEZESHA VIJANA-MAJALIWA

    October 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.