• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC DENDEGO ATAKA UKUSANYAJI WA MAPATO KWA ASILIMIA 100

Posted on: January 15th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Halima Dendego, amewataka madiwani wa Manispaa ya Singida na Halmashauri ya Wilaya ya Singida (DC) kuhakikisha wanasimamia ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa asilimia 100 pamoja na kubuni vyanzo vipya vya mapato, ili kuimarisha ujenzi na ukarabati wa barabara pamoja na miundombinu mingine muhimu ya kijamii.


Mhe. Dendego ametoa wito huo leo Januari 15, 2026, wakati akifunga mafunzo ya siku tatu kwa Waheshimiwa Madiwani yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa, yakilenga kuwajengea uwezo viongozi hao katika utekelezaji wa majukumu yao.

Akizungumza katika hafla ya ufungaji mafunzo hayo, Mhe. Dendego amesema madiwani wana wajibu mkubwa wa kusimamia ipasavyo ukusanyaji wa mapato ya halmashauri zao, akisisitiza kuwa mapato hayo ndiyo nguzo ya maendeleo katika sekta mbalimbali.


“Ukusanyaji wa mapato unatakiwa uwe wa asilimia 100. Ninyi madiwani ndiyo mnatakiwa kusimamia upatikanaji wa mapato haya, kwa kuwa ndiyo yanayosaidia ujenzi wa barabara, madarasa na miundombinu mingine muhimu. Haitakiwi kuwaambia wananchi wasilipe kodi; kodi hizi ni kwa maendeleo yao na ya nchi kwa ujumla,” amesema.


Kwa upande mwingine, Mhe. Dendego amewataka madiwani kuhakikisha usajili wa wanafunzi unafanyika kwa asilimia 100 katika kata zao, hususan kwa watoto wenye sifa za kuanza shule, na kusimamia kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa wanaripoti shuleni kwa wakati.


Aidha, amewakumbusha madiwani kuendelea kusikiliza na kushughulikia kero za wananchi, akisisitiza kuwa jukumu lao la msingi ni kuwahudumia wananchi na kusimamia maendeleo katika maeneo yao.


Mafunzo hayo ya siku tatu yalilenga kuwajengea uwezo madiwani katika masuala ya uongozi, usimamizi wa mapato, na uwajibikaji kwa jamii wanazoziongoza.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • KATIBU NEC, CCM AUPONGEZA MKOA WA SINGIDA KWA USIMAMIZI BORA WA UJENZI WA SOKO LA VITUNGUU

    January 19, 2026
  • MADARASA MAWILI YA GPE TSP YAKAMILIKA

    January 16, 2026
  • RC DENDEGO ATAKA UKUSANYAJI WA MAPATO KWA ASILIMIA 100

    January 15, 2026
  • DC GONDWE AFUNGUA MAFUNZO YA MADIWANI WILAYA YA SINGIDA

    January 13, 2026
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.