• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

' SEKTA YA BIASHARA NA VIWANDA NI MUHIMU KWA UCHUMI WA MKOA WA SINGIDA'

Posted on: April 24th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mheshimiwa Halima Dendego, amekutana na Uongozi wa Chama cha Wafanyabiashara, Wakulima na wenye Viwanda Tanzania (TCCIA) wa mkoani humo, leo Aprili 24, 2024 ofisini kwake, na kufanya nao mazungumzo yanayohusiana na sekta ya biashara ili kukuza na kuinua uchumi wa mkoa na Taifa kwa ujumla.


Kupitia kikao hicho, ujumbe wa TCCIA Mkoa wa Singida uliyoongozwa na Mwenyekiti wake Bw. Elly Kitila Mkumbo, ukiwa na lengo kwa Jumuiya hiyo ya Wafanyabiashara kujitambulisha mbele ya Mkuu huyo wa Mkoa aliyehamia Singida kutokea Mkoani Iringa hivi karibuni.


Aidha, katika kikao hicho walipata wasaa wa kujadili fursa mbalimbali kupitia Sekta ya biashara, uchumi, uzalishaji pamoja na uwekezaji zilizopo mkoani Singida hususani kwenye viwanda, kilimo, biashara, uvuvi, mifugo, madini, pamoja na miundombinu ya barabara na nishati ili ziweze kuinua na kuboresha maisha wananchi wa mkoa huo na Taifa kwa ujumla.


RC Dendego, ameuhakimishia uongozi wa Jumuiya ya Wafanyabishara hao kuwa ataimarisha ushirikiano zaidi baina ya pande zote mbili ili kukuzu uchumi wa wanasingida kupitia sekta binafsi kwakuwa Serikali ya Mkoa ipo imara katika Ulinzi na Usalama.


“Kwa kweli Jumuiya yenu ya Chamber of Commerce, ni muhimu na ni muhimili mkubwa katika uchumi, niwaombe sana tuendeleze ushirikiano huu kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wetu ambao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuboresha maisha ya mtu mmoja mmoja ndio maana miradi mbalimbali inatekelezwa.’ amesema Dendego.


Katika mazungumzo hayo, msafara wa Jumuiya ya Chamber of Commerce, kupitia Mwenyekiti Kitila, alimweleza Dendego umuhimu wa Serikali kuboresha soko la kimataifa la vitunguu lililopo Kata ya Misuna katika Manispaa ya Singida kutokana na umuhimu wake katika kuhudumia wakulima na wafanyabishara wa ndani na nje ya Tanzania.


Kitila amemhakikishia Mkuu huyo wa mkoa kuwa, Chamber of Commerce itaendeleza na kudumisha ushirikiano baina ya Jumuiya ya TCCIA na Serikali.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • MATOKEO YA VITENDO KWA DEREVA October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE YA AMALI MKOA WA SINGIDA

    May 21, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU PILI

    May 20, 2025
  • MIAKA MINNE YA MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN ASANTE KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA WAFANYAKAZI

    May 20, 2025
  • "UPATIKANAJI WA HAKI KUONGEZA IMANI KWA WANANCHI"

    May 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.