• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANAWAKE SINGIDA WAMETAKIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWA MARAFIKI WA WATOTO WAO WA KUWA MARAFIKI WA WATOTO

Posted on: March 8th, 2023

Wanawake katika Manispaa ya Singida wameaswa kujenga utamaduni wa kuwa marafiki na watoto wao, ili kuzikabili changamoto  mbalimbali, ikiwemo ukatili wa kijinsia, ubakaji na ndoa za utotoni.

Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo,Mstahiki meya wa Manispaa ya Singida, Yagi Maulid Kiaratu, amesema hayo Mach, 08, 2023, kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani, katika kiwanja cha Bombadia.

Mstahiki Meya amesema kuwa, kwa kujenga urafiki na watoto wao, wazazi watabaini changamoto nyingi, zinazowakabili kundi hilo, na hivyo kuzipatia ufumbuzi wa haraka, kabla ya madhara zaidi.

“Sasa Wanawake, kidogo tumeanza kusahau malezi ya watoto wetu, tukijenga utamaduni wa kuwa rafiki wa watoto, watakueleza matatizo yao, wapi ameshindwa, na nani kafanya nini...”, amesema Kiaratu.

Pamoja na malezi  bora, Mstahiki Meya amefafanua kuwa, hivi sasa serikali imeweka mazingira nafuu yanayowezesha mwanamke anapata haki.

Ameongeza kuwa, serikali imewapa uwezo wa kisheria wanawake kupitia usaidizi wa kisheria katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo akatoa wito kujitokeza zaidi, ili wapate haki itakayowaweka huru.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wilaya ya Singida mjini, Lucia Mwiru, amewaomba wanawake kuendeleza tabia ya kupendana, badala ya kupigana majungu, jambo linalohatarisha umoja wao.

Amesema kuwa, panapokuwa na umoja, amani na upendo, daima panakuwa na mshikamano mkubwa, baina ya kundi hilo muhimu katika familia na jamii kwa ujumla.

 “Wanawake tuheshimiane, wanawake tupendane, kila mtu amheshimu mwenzie kulingana na nafasi aliyonayo, lakini mwanamke mzuri na kiongozi mzuri ni Yule anayejishusha kwa wenzake,”amesema Lucia.

Baadhi ya Wanawake walioshiriki maadhimisho hayo, akiwemo Anna Laswai na Veronica Timotheo, wamesema siku hiyo ni muhimu kwao na katika manispaa ya Singida, yanawaweka pamoja bila kujali anatoka sehemu gani, yanaimarisha uhusiano, na wanashiriki maonyesho mbalimbali ya ujasiriamali, hivyo kuwafanya wakue kifikra.

Siku ya wanawake Duniani huadhimishwa march nane kila mwaka, kwa lengo la kuhamasisha na kukuza maendeleo yao kisiasa, kijamii na kiuchumi, pia kuendeleza harakati za mapambano katika usawa wa kijinsia kwa wanawake na waume.

MWISHO.

Matangazo

  • MAPITIO YA BAJETI 2022/2023 February 21, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA MANISPAA YA SINGIDA KWA SHULE 2021 November 15, 2021
  • KARIBU UWEKEZE KATIKA MANISPAA YA SINGIDA November 15, 2022
  • TATHMINI YA MATOKEO YA MITIHANI YA DARASA LA SABA 2022 KI- SHULE December 23, 2022
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • KAYA 5,396 MANISPAA YA SINGIDA ZIMENUFAIKA NA MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF) DIRISHA LA SEPTEMBA - OKTOBA, 2023

    March 22, 2023
  • BOT YATOA ELIMU YA FEDHA BANDIA KWA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KIMATAIFA LA VITUNGUU, MISUNA MANISPAA YA SINGIDA

    March 20, 2023
  • TUME YA UTUMISHI YA WALIMU SINGIDA YAWATAKA WALIMU KUZINGATIA SHERIA,KANUNI NA MIONGOZO INAYOTOLEWA NA SERIKALI

    March 20, 2023
  • MIAKA MIWILI YA DHAHABU YA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN YALETA MAPINDUZI YA MAENDELEO SINGIDA

    March 18, 2023
  • Tazama Zote

Video

Waziri Jafo atoa maagizo mazito kwa ma-RAS, ma-DED, Wakuu wa idara na maasifa mawasiliano serikalini
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.