• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANAWAKE SINGIDA WAMETAKIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUWA MARAFIKI WA WATOTO WAO WA KUWA MARAFIKI WA WATOTO

Posted on: March 8th, 2023

Wanawake katika Manispaa ya Singida wameaswa kujenga utamaduni wa kuwa marafiki na watoto wao, ili kuzikabili changamoto  mbalimbali, ikiwemo ukatili wa kijinsia, ubakaji na ndoa za utotoni.

Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo,Mstahiki meya wa Manispaa ya Singida, Yagi Maulid Kiaratu, amesema hayo Mach, 08, 2023, kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani, katika kiwanja cha Bombadia.

Mstahiki Meya amesema kuwa, kwa kujenga urafiki na watoto wao, wazazi watabaini changamoto nyingi, zinazowakabili kundi hilo, na hivyo kuzipatia ufumbuzi wa haraka, kabla ya madhara zaidi.

“Sasa Wanawake, kidogo tumeanza kusahau malezi ya watoto wetu, tukijenga utamaduni wa kuwa rafiki wa watoto, watakueleza matatizo yao, wapi ameshindwa, na nani kafanya nini...”, amesema Kiaratu.

Pamoja na malezi  bora, Mstahiki Meya amefafanua kuwa, hivi sasa serikali imeweka mazingira nafuu yanayowezesha mwanamke anapata haki.

Ameongeza kuwa, serikali imewapa uwezo wa kisheria wanawake kupitia usaidizi wa kisheria katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo akatoa wito kujitokeza zaidi, ili wapate haki itakayowaweka huru.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wilaya ya Singida mjini, Lucia Mwiru, amewaomba wanawake kuendeleza tabia ya kupendana, badala ya kupigana majungu, jambo linalohatarisha umoja wao.

Amesema kuwa, panapokuwa na umoja, amani na upendo, daima panakuwa na mshikamano mkubwa, baina ya kundi hilo muhimu katika familia na jamii kwa ujumla.

 “Wanawake tuheshimiane, wanawake tupendane, kila mtu amheshimu mwenzie kulingana na nafasi aliyonayo, lakini mwanamke mzuri na kiongozi mzuri ni Yule anayejishusha kwa wenzake,”amesema Lucia.

Baadhi ya Wanawake walioshiriki maadhimisho hayo, akiwemo Anna Laswai na Veronica Timotheo, wamesema siku hiyo ni muhimu kwao na katika manispaa ya Singida, yanawaweka pamoja bila kujali anatoka sehemu gani, yanaimarisha uhusiano, na wanashiriki maonyesho mbalimbali ya ujasiriamali, hivyo kuwafanya wakue kifikra.

Siku ya wanawake Duniani huadhimishwa march nane kila mwaka, kwa lengo la kuhamasisha na kukuza maendeleo yao kisiasa, kijamii na kiuchumi, pia kuendeleza harakati za mapambano katika usawa wa kijinsia kwa wanawake na waume.

MWISHO.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • MATOKEO YA VITENDO KWA DEREVA October 03, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE YA AMALI MKOA WA SINGIDA

    May 21, 2025
  • ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU PILI

    May 20, 2025
  • MIAKA MINNE YA MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN ASANTE KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA WAFANYAKAZI

    May 20, 2025
  • "UPATIKANAJI WA HAKI KUONGEZA IMANI KWA WANANCHI"

    May 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.