• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AZINDUA KITABU CHA HISTORIA YA MIAKA 60 YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU

Posted on: October 14th, 2025



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amezindua Kitabu cha Historia ya Miaka sitini ya Mbio za Mwenge wa Uhuru tangu kuanzishwa kwake Mwaka 1964 hadi 2024.


Kitabu hicho kimeandaliwa kwa lengo la kuhifadhi kumbukumbu muhimu za kihistoria, hususan Chimbuko, Maendeleo na Mchango wa Mbio za Mwenge wa Uhuru katika kujenga Mshikamano wa Kitaifa, Uzalendo na kuhamasisha maendeleo.


Dkt. Philip amezindua kitabu hicho leo Oktoba 14, 2025 wakati wa Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 zilizofanyika Jijini Mbeya katika Uwanja wa Sokoine.


Aidha,Dkt. Mpango amezitaka Wizara za Elimu, Sayansi na Teknolojia Tanzania bara na Visiwani ziangalie uwezekano wa kukitumia kitabu hicho kama nyenzo ya kufundishia Watoto na Vijana shuleni na vyuoni.


Awali akizungumza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema kitabu hicho kimeandikwa mahususi kuhifadhi maono ya waasisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na viongozi wenzake ili kuendeleza falsafa ya Mwenge wa Uhuru kama tunu ya kuhamasisha uzalendo, mshikamano, umoja na maendeleo.


Naye, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amesema kitabu hicho kinaelezea umuhimu wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kama alama ya mshikamano wa Watanzania wote bila kujali tofauti zetu za dini, kabila au itikadi.


Mbio za Mwenge wa Uhuru zimehitimishwa leo ambapo Mwenge wa Uhuru umekimbizwa katika mikoa 31 na halmashauri 195 Tanzania bara na Visiwani tangu zilipozinduliwa Aprili 2 mwaka huu mkoani Pwani ambapo jumla ya miradi 1,382 imezinduliwa.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI AMTANGAZA MBUNGE JIMBO LA SINGIDA MJINI

    October 30, 2025
  • MKURUGENZI MANISPAA YA SINGIDA APIGA KURA

    October 29, 2025
  • DC GONDWE ALITIMIZA HAKI YAKE

    October 29, 2025
  • TUMETIMIZA HAKI YA KIKATIBA:TUMEPIGA KURA

    October 29, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.