• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko/Mrejesho |
Singida Municipal Council
Singida Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Elimu Msingi na Awali
      • Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango, na Uratibu
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Idara ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji na Miji
    • Units
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Sheria na Usalama
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
      • Kitengo cha Misitu na Maliasili
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Maziwa
      • Mawe
      • Maeneo ya Kihistoria
    • Kilimo
    • Umeme wa Jua na Upepo
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Usafi wa Mazingira
    • Ukusanyaji wa Mapato
    • Mikopo ya Wanawake, Vijana na Walemavu
    • Kituo cha Biashara
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Kamati ya Mipangomiji,Mazingira, na Ujenzi
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Time Table
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Meya/MwenyeKiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyoidhinishwa
  • Machapisho
    • Miongozo
      • Miongozo ya Kilimo
    • Policy
    • Fomu
    • Taarifa Ya Utekelezaji
    • Jarida
    • Mkataba Wa Huduma Kwa Mteja
    • Sheria
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa Za Kifedha
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZOEZI LA UTOAJI WA CHANJO YA MIFUGO NA UTAMBUZI WA MANISPAA YA SINGIDA

  • Zoezi la utambuzi, usajili na utoaji wa chanjo za mifugo limeanza rasmi katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida, likihusisha mifugo aina ya ng’ombe, mbuzi na kondoo, ambapo wafugaji wametakiwa kuhakikisha mifugo yao inashiriki kikamilifu katika hatua hiyo muhimu kwa afya ya mifugo yao. Katika kuanza kwa zoezi hilo leo Septemba 2, 2025, zaidi ya ng’ombe 200 na mbuzi 100 wamechanjwa katika shamba la mfugaji mmoja lililopo Kata ya Unyianga, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuhakikisha mifugo yote katika manispaa hiyo inapata kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Afisa Mifugo wa Manispaa ya Singida, Bw. Benedict Bulugu, amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa maafisa wanaotekeleza zoezi hilo na kuhakikisha mifugo yao inafikishwa katika maeneo rasmi ya uchanjaji. “Tunaomba wananchi wajitokeze kwa wingi. Chanjo hizi ni muhimu kwa ajili ya afya ya mifugo yao na zitasaidia kudhibiti milipuko ya magonjwa hatari kwa mifugo kama vile homa ya mapafu ,” alisema Bw. Bulugu. Zoezi hilo linatarajiwa kufanyika katika kata zote 18 za Manispaa ya Singida kwa lengo la kuchanja jumla ya ng’ombe 32,000 na mbuzi 21,000, sambamba na kufanya utambuzi na usajili wa mifugo hiyo. Halmashauri ya Manispaa ya Singida imesisitiza kuwa zoezi hilo ni sehemu ya mkakati wa kitaifa wa kuimarisha afya ya mifugo na kurahisisha upatikanaji wa takwimu sahihi zitakazosaidia katika kupanga maendeleo ya sekta ya mifugo. Kwa mujibu wa Afisa huyo, ratiba ya uchanjaji itatangazwa kwa kila kata, na wananchi wanashauriwa kufuatilia kwa karibu taarifa hizo kupitia viongozi wa vijiji na kata pamoja na maafisa mifugo waliopo katika maeneo yao.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI MANISPAA YA SINGIDA June 03, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO DIRISHA LA ROBO YA TATU January 10, 2025
  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ March 10, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU MWENYE ULEMAVU KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA October 02, 2024
  • Tazama Zote

Habari za hivi Punde

  • MANISPAA YA SINGIDA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA KWA SIKU TANO

    October 06, 2025
  • WATUMISHI MANISPAA YA SINGIDA WANAFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA BORA

    October 11, 2025
  • WATUMISHI MANISPAA YA SINGIDA WANAFANYA KAZI KATIKA MAZINGIRA BORA

    October 11, 2025
  • SERIKALI IMETOA SHILINGI TRILIONI 3.5 KUWAWEZESHA VIJANA-MAJALIWA

    October 10, 2025
  • Tazama Zote

Video

UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST HADI TAREHE 02 JUNI 2023 - MANISPAA YA SINGIDA
Video Zaidi

Viunganisho vinavyohusiana

  • Press Release

Kurasa za Karibu

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Karume Road Street

    Sanduku la Posta: P.O BOX 236,Singida

    Telephone: +255 26 250 2179/236

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: md.singidamc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

© 2018 Halmashauri ya Manispaa ya Singida.Haki zote zimehifadhiwa.